top of page

Panga nyumba nzuri ubungo kibangu

  • Jan 18, 2017
  • 1 min read

Nyumba ipo eneo la ubungo kibangu, ina vyumba viwili chumba na sebule na choo cha nje mna shea watu wawili maji yapo ya dawasco na y chumvi umeme una shea watu wawili mazingira ni mazuri na salama,

Nyumba ipo karibu na barabara kuu ya mandela dakika 4 tu kufika stendi ya riverside na dakika 10 kufika stendi ya mwendo kasi barabara ya morogoro

Bei malipo ni shilingi 140000 kwa mwezi.

malipo ni kwa miezi sita ( 120000 kwa mwaka mzima)

 
 
 

Comments


+255625691550/656128240

-

Tropical House Dar es salaam Tanzania

©2017 BY DALALINDABILA. PROUDLY CREATED WITH WIX.COM

bottom of page